Sunday 6 March 2016

WAMEPIGWA!!! MANCHESTER UNITED YATULIZWA NA WEST BROM, 1-0

Nyota wa West Bromwich Albion, Salomon Rondon akifumua shuti huku beki wa Manchester United, Chris Smalling akijaribu kuzuia katika mchezo wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa The Hawthorns. WBA imeshinda 1-0, bao pekee la Rondon dakika ya 66 katika mchezo ambao United ilimaliza pungufu baada ya Juan Mata kutolewa kwa kadi nyekundu dakika ya 2.
Mata was shown the second yellow card after a reckless swipe at West Brom captain Darren Fletcher
Mwamuzi akimuonesha Juan Mata kadi nyekundu

Rondon was left unmarked in the box and was allowed time to turn and thrash a shot past David de Gea in the United goal 

West Bromich Albion wamepata ushindi huu muhimu na kudhoofisha ndoto za Manchester United kutinga katika hatua ya nne bora .

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA