Tuesday 31 May 2016

EDINSON CAVANI WA PSG AKANUSHA UVUMI KUHUSU REAL MADRID, MANCHESTER UNITED


MSHAMBULIAJI mahiri wa PSG ya Ufaransa, Edinson Cavani, amesema kuwa ataendelea kuitumikia timu hiyo na hana mpango wa kwenda Manchester United wala Real Madrid.
 Wakala wa mchezaji huyo, Claudio Anellucci alisema jana kuwa staa huyo wa Uruguay ameridhia kubaki hapo akiamini atapata mafanikio zaidi.


0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA