Thursday 3 March 2016

LIVERPOOL YALIPA KISASI KWA KUITANDIKA MAN CITY TATU BILA

Mshambuliaji wa Liverpool, Roberto Firmino akimrukia migongoni mshambuliaji wa Liverpoool, Divock Origi wakati wakimpongeza James Milner baada ya kufunga 
TIMU ya Liverpool imeichapa mabao 3-0 Manchester City katika mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku huu Uwanja wa Anfiled.
Manchester City forward Sergio Aguero attempts to barge Liverpool right back Nathaniel Clyne off the ball in a bid to win possession back Ushindi huo ni sawa na kisasi cha kufungwa kwa penalti 3-1 katika fainali ya Kombe la Ligi, maarufu kama Capital One Cup Februari 28, Uwanja wa Wembley baada ya sare ya 1-1.
Manchester City appeal for offside but their protests were ignored as Firmino slotted the ball home to put Liverpool 3-0 in front Katika mchezo wa leo, mabao ya Liverpool yamefungwa na Adam Lallana dakika ya 34, James Milner dakika ya 41 na Roberto Firmino dakika ya 57.

0 comments:

Post a Comment

OFFICIAL MEMBER

OFFICIAL MEMBER

Please Share This Site

HABARI ZETU

LIKE PAGE YETU HAPA